UKURASA WA 1142; Sheria Tatu Zinazoweza Kuyafanya Maisha Yako Kuwa Bora Sana…

By | February 15, 2018
Sheria huwa zinatengenezwaje? Ni baada ya watu kufanya mambo fulani, halafu matokeo yake yakaonekana siyo mazuri hivyo sheria inawekwa kuwazuia watu kufanya kitu hicho. Kwa mfano, watu kunywa pombe na kisha kuendesha magari au mashine hupelekea kupata ajali zaidi. Hivyo sheria inakuwa hairuhusiwi kunywa pombe na kisha kuendesha mashine au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz