UKURASA WA 1143; Sababu Kuu Ya Kufanya Kazi Yako…

By | February 16, 2018
Kuna watu wanafanya kazi ili waonekane wanafanya kazi. Watu wa aina hii kazi zao huwa ni za juu juu na hazina thamani kubwa. Kwa sababu pale ambapo hakuna anayewaona, basi hawana msukumo wa kufanya kazi. Na mara nyingi kazi inakuhitaji uifanye wakati hakuna anayekuona. Wapo watu wanaofanya kazi ili wasifiwe,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz