MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UKIWA VIZURI UNAKUWA NA USHAURI MZURI…
When we are well, we all have good advice for those who are ill. – Lucius Annaeus Seneca Hongera mwanamafanikio kwa siku hii nzuri na ya kipekee kwetu. Ni nafasi nzuri ya kwenda kuweka juhudi kubwa kwa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA ambapo tutaweza kupata matokeo bora sana. Kwa mwongozo wa