UKURASA WA 1168; Unaidhibiti Siku Au Siku Inakudhibiti?

By | March 13, 2018
Unaianza siku kwa mipango yako au mipango inajitokeza ndani ya siku na unaifanyia kazi? Kila siku unaianza kwa ajenda zako binafsi au unapokea ajenda za wengine na kuzifanyia kazi? Unadhibiti muda wako wa siku au muda unaenda tu na hujui unapotelea wapi? Tunapanga makubwa, tunakuwa na ndoto na maono makubwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz