MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1168; Unaidhibiti Siku Au Siku Inakudhibiti?
Unaianza siku kwa mipango yako au mipango inajitokeza ndani ya siku na unaifanyia kazi? Kila siku unaianza kwa ajenda zako binafsi au unapokea ajenda za wengine na kuzifanyia kazi? Unadhibiti muda wako wa siku au muda unaenda tu na hujui unapotelea wapi? Tunapanga makubwa, tunakuwa na ndoto na maono makubwa