UKURASA WA 1182; Fedha Hazina Hisia, Sisi Tunazipa Hisia…

By | March 27, 2018
Fedha ni fedha, ni kipande cha karatasi, au chuma, au tarakimu kwenye kompyuta ambayo imepewa thamani na wote tukakubaliana nayo. Nje ya hapo, fedha haina hisia yoyote ile. Lakini sasa, mtu akiokota, kupewa au kushinda zawadi ya fedha, ataitumia hovyo kuliko fedha ambayo ameitafuta kwa nguvu na jasho! Mtu akiwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz