UKURASA WA 1214; Mipango Isiyo Ya Kawaida, Isiyowezekana Kwa Uhalisia…

By | April 28, 2018
Uhalisia ni kifo cha mafanikio, pale unapopanga kitu na kuanza kujiuliza kama kinaendana na uhalisia au la, ndiyo mwisho wako wa kwenda mbali zaidi. Huwa tunapenda kuweka mipango ya kawaida, mipango inayoendana na kile tulichozoea, mipango inayowezekana na inayoendana na uhalisia. Mtu mmoja amewahi kusema, watu wa kawaida huwa wanaenda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz