UKURASA WA 1215; Maamuzi Unayofanya Kwa Hekima…

By | April 29, 2018
Hatua ngumu kwenye maisha na mafanikio ni kufanya maamuzi. Kwa sababu unapofanya maamuzi, maana yake unakubali kuachana na mengine yote na kufanya kile ulichochagua kufanya au kufuata. Watu wengi hukwepa kufanya maamuzi kwa sababu wanaona kuacha mengine ni hatari kubwa. Kwa mfano kuingia kwenye biashara fulani ni maamuzi magumu kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz