UKURASA WA 1216; Raha Leo Maumivu Kesho…

By | April 30, 2018
Ni asili ya binadamu kupenda raha, kupenda kile kinacholeta manufaa ya haraka kuliko kile ambacho manufaa yake yanachelewa. Lakini sheria ya asili ni hii, chochote kinachokupa raha leo, kesho kitakupa maumivu. Ni sheria ya asili, ambayo huwezi kubishana nayo na wala huwezi kuikwepa. Jaribu kuangalia mifano kwenye kila eneo la

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz