UKURASA WA 1227; Kama Hufanyi, Unafanya Vibaya…

By | May 11, 2018
Kuna vitu ambavyo kila mtu anapaswa kufanya, lakini wengi hawajui kama wanapaswa kufanya, na wanaweza kujiambia kwamba hawafanyi. Wasichojua ni kwamba, chochote ambacho unapaswa kufanya halafu hufanyi, siyo kwamba hufanyi kweli, bali unafanya vibaya. Kwa mfano kila mtu anauza, na kila kitu kwenye maisha kinahusisha kuuza. Wale wanaojitambua kama wauzaji

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz