UKURASA WA 1228; Tabia Ya Kujificha…

By | May 12, 2018
Mafanikio yanakuja na hatari moja, kuwa kioo cha wengi, kuonekana na kila mtu na kuhukumiwa na hata wasiokujua vizuri. Kadiri unavyofanikiwa ndivyo watu wengi zaidi wanajua kuhusu wewe, na ndivyo wengi watakavyohiji, kukupinga na hata kuhukumu chochote unachofanya. Hali hii imekuwa inapelekea wengi kupenda kujificha, na sehemu nzuri ya kujificha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz