UKURASA WA 1240; Tumaini, Hofu Na Ndoto…

By | May 24, 2018
Hivi ni vitu vitatu vyenye nguvu kubwa ya kufanya maisha yako yawe ya mafanikio au ya kushindwa. Tumaini ni nguvu inayokusukuma kupiga hatua zaidi, hata kama huoni kile unachokwenda kupata na wala huna uhakika nacho. Tumaini linakufanya uamini usichokiona na uwe na uhakika wa kukipata, hata kama hujawahi kukipata huko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz