UKURASA WA 1248; Kuwa ‘Bize’ Na Kuzalisha…

By | June 1, 2018
Ni vitu viwili tofauti kabisa, visivyo na uhusiano wa karibu. Wengi hufikiri wakiwa bize, wakionekana wana mambo mengi basi ndiyo wanakuwa na uzalishaji mkubwa. Lakini uhalisia ni kwamba, kuwa bize ni kiashiria cha uzalishaji mdogo. Watu wanaokuwa bize mara nyingi huwa wanashindwa kupangilia vipaumbele vyao, na hilo linawafanya kuwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz