MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1249; Unajikadiria Vibaya…
Kitu kimoja ambacho sisi binadamu huwa tunakosea, ni pale tunapopata nafasi ya kujikadiria, huwa tunajikadiria vibaya, mara zote. Kama umewahi kupanga muda wa kumaliza kitu, au kupanga bajeti, umeshakutana na hili mara nyingi. Mara zote vitu huwa vinachukua muda mrefu kuliko tulivyokadiria, na pia vinachukua gharama kubwa kuliko tulivyokadiria. Upande