UKURASA WA 1255; Makundi Makubwa Mawili Ya Watu Duniani…

By | June 8, 2018
Kuna makundi makuu mawili ya watu, ambapo watu wote wanaingia kwenye kundi moja au jingine. Kundi la kwanza ni watu jasiri, watu ambao wapo tayari kuchukua hatua na kupata kile ambacho wanakitaka. Hawa ni watu ambao kwa nje wanaonekana kama hakuna wanachohofia, wapo tayari kuchukua hatua na wanapata kila wanachokitaka.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz