UKURASA WA 1291; Watu Wapo Tayari Kugharamia Nini Kwako?

By | July 14, 2018
Lipo kosa moja kubwa ambalo watu wengi wanafanya na linawazuia sana kupata kile wanachotaka na hata mafanikio kwa ujumla. Kosa hilo ni kujirahisisha na kutokujithamini kwa namna wanavyopaswa kufanya. Watu wengi wamekuwa hawajiamini kama kweli wana thamani kubwa, na hivyo wamekuwa wakiogopa kuwataka watu walipe ile thamani ambayo wanaitaka hasa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz