BIASHARA LEO; Unatumia Mtego Gani Kuwanasa Wateja Wa Biashara Yako?

By | August 8, 2018
Kuwanasa wateja wa biashara yako ni hitaji muhimu sana kwa mafanikio ya biashara. Kwa sababu bila ya wateja kunasa, kuwa na kitu wanachokipata kwako tu, hawawezi kurudi tena kwako. Na kama ambavyo nimekuwa nakuambia, mteja akinunua mara moja kwako, ni hasara kwako. Unaanza kufaidika na mteja pale anaponunua tena na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz