MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1316; Zifanye Changamoto Kuwa Nishati Ya Kukuchochea Zaidi…
Kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa siyo ndoto kubwa wanazokuwa nazo, na wala siyo kiwango cha kazi ambacho wapo tayari kuchukua. Bali jinsi ambavyo wanachukulia changamoto. Wanaofanikiwa na wanaoshindwa wote wanakuwa na ndoto kubwa kwenye maisha yao. Na wote wanakuwa tayari kuweka kazi ili kufikia ndoto hizo. Lakini kama wote tunavyojua, hakuna