UKURASA WA 1342; Njia Pekee Ya Kuepuka Hatari Kwenye Maisha…

By | September 3, 2018
Ni kufa. Ikishakufa, hakuna kitu kinaweza kuwa hatari tena kwenye maisha yako, kwa sababu huna tena maisha. Lakini kama upo hai, basi kuna hatari unatembea nazo na unapishana nazo kila siku ya maisha yako. Kutoka tu nje ya nyumba yako ni hatari ya kutosha. Labda tumeenda mbali, kukaa ndani ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz