UKURASA WA 1343; Ukishafanikiwa, Sheria Hazibadiliki…

By | September 4, 2018
Watu hushangazwa sana pale wanapoona baadhi ya watu waliofanikiwa wakianguka. Wanawaona watu ambao wametoka chini, wamejitahidi na kupata mafanikio, lakini wanaanguka na kurudi chini kabisa. Kinachotokea ni hiki; wengi wanapoanza wanaweka juhudi kubwa sana, wanajituma mno, hawachagui kazi, wanafanya kazi kwa muda wa ziada, wanakuwa tayari kuumia, wanakuwa wavumilivu hasa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz