UKURASA WA 1349; Jinsi Ya Kutumia Uvivu Kwa Manufaa…

By | September 10, 2018
Nikiwa nasoma kitabu, mwandishi alitoa kauli hii, napenda sana kulala, hivyo kitu pekee kinachokatisha usingizi wangu inabidi kiwe kinalipa fedha ya kutosha. Kwa asili sisi binadamu ni wavivu, na uvivu wetu ndiyo uliotuwezesha sisi binadamu kuweza kudumu mpaka sasa. Uvivu ni njia ya akili kutunza nguvu zetu kwa kutukatisha tamaa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz