BIASHARA LEO; Mkumbuke Mteja Mmoja Leo…

By | September 11, 2018
Leo fanya zoezi hili rahisi sana kwenye biashara yako, Mkumbuke mteja mmoja ambaye amewahi kununua kwako siku za nyuma, lakini siku za karibuni hujamwona akinunua tena. Ingia kwenye mawasiliano ya wateja wako, na chukua mteja mmoja, au wachache ambao hujawaona wakinunua mara kwa mara kisha fanya nao mawasiliano. Na mawasiliano

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz