UKURASA WA 1350; Tabia Moja Ya Uongozi Itakayokuwezesha Kufanikiwa Sana Kwenye Maisha…

By | September 11, 2018
Mwandishi Simon Sinek, ambaye anaandika na kufundisha sana kuhusu uongozi, ana kitabu kinaitwa Leaders Eat Last, akiwa na dhana kwamba viongozi wazuri huweka maslahi ya wengine mbele kabla ya maslahi yao binafsi. Na ukichukulia kwa dhana hiyo ya kula, imekuwa inaaminika kwamba viongozi ndiyo wa kwanza kula. Lakini viongozi wazuri,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz