BIASHARA LEO; Cha Kufanya Pale Wengine Wanapopunguza Bei…

By | September 12, 2018
Changamoto kubwa kwenye biashara ni pale ushindani unapowekwa kwenye bei. Pale wenzako wanapopunguza bei ili kupata wateja zaidi. Ni rahisi kukimbilia na wewe kupunguza bei, lakini hiyo siyo mbinu ambayo itakuwezesha kufanikiwa kwenye biashara. Kwa sababu unapopunguza bei, unapunguza faida na kadiri faidia inavyokuwa ndogo ndivyo huduma unazotoa zinavyokuwa za

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz