UKURASA WA 1351; Tatizo La Kuwadanganya Wengine…

By | September 12, 2018
Ni kwamba utafika mahali na wewe uanze kujidanganya mwenyewe. Ukishawadanganya sana watu, wakaamini kile unachowadanganya, utaanza kushawishika kwamba huenda unachodanganya ni ukweli na unaanza kuamini uongo wako mwenyewe. Japo ndani yako kabisa utaendelea kujua ni uongo, lakini utayajenga maisha yako kwenye uongo huo na matokeo yake hayatakuwa mazuri. Tatizo jingine

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz