UKURASA WA 1352; Faida Za Kuchukua Hatua Kubwa Kwenye Maisha Yako…

By | September 13, 2018
Kanuni ya mafanikio tunayoiishi kwenye KISIMA CHA MAARIFA ni MAARIFA SAHIHI + KUCHUKUA HATUA KUBWA = MAFANIKIO MAKUBWA. Hakuna mafanikio makubwa kama hakuna hatua kubwa ambazo zinachukuliwa. Na kuchukua hatua kubwa bila ya kuwa na maarifa sahihi, ni kujiweka kwenye hali ya hatari sana. Zipo faida nyingine nzuri sana za

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz