BIASHARA LEO; Adhabu Ya Mteja Asiyenunua Kwako…

By | September 16, 2018
Najua hili limekuwa linatokea kwenye biashara yako mara nyingi. Kuna mteja ambaye amekuwa hanunui kwako, anakupita na kwenda kununua kwa muuzaji mwingine, japo na wewe unauza kile anachokwenda kununua kule. Sasa inatokea siku moja, mteja huyo anaenda kule anakoenda kununua, anakosa kitu hicho, halafu anarudi kwako. Unachukua hatua gani kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz