UKURASA WA 1355; Maendeleo Ya Dunia Yanategemea Watu Wasio Wa Kawaida.

By | September 16, 2018
Mwandishi George Bernard Shaw amewahi kuandika; mtu wa kawaida anaenda kama dunia inavyotaka. Mtu asiye wa kawaida, anaifanya dunia iende kama anavyotaka yeye. Hivyo maendeleo yote duniani yanategemea mtu asiye wa kawaida. Kauli hii ina ukweli mkubwa sana, kwa sababu ni kweli maendeleo yote tunayofurahia duniani leo, yameletwa na watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz