BIASHARA LEO; Jinsi Ya Kujitengenezea Upendeleo Kwenye Biashara Yako…

By | September 18, 2018
Umewahi kwenda kwenye biashara mbili ambazo zinafanana, ukakuta kwenye biashara moja watu wamejipanga mstari kusubiri huduma, wakati biashara nyingine haina mteja kabisa? Yaani watu wapo radhi kusubiri wapate huduma kwenye biashara wanayotaka, kuliko kwenda kupata huduma pengine ambapo wangeokoa muda zaidi. Waswahili watakuambia anayejaza wateja anatumia dawa, au ushirikina, au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz