UKURASA WA 1357; Nje Pakitibuka, Ndani Panapaswa Kutulia…

By | September 18, 2018
Wapo watu ambao huwa wanasumbuliwa sana na shambulio la mshtuko, kitu fulani kinatokea na kuwashtua sana kiasi kwamba wanaogopa au kuhofia kabisa kufanya kitu hicho au hata kingine. Mara nyingi watu huwa wanakuwa na mipango mizuri wanapoanza kitu chochote, lakini wanapoendelea kufanya, wanakutana na changamoto, ambayo inavuruga mipango yao, na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz