BIASHARA LEO; Uza Kitu Ambacho Unapata Shida Ya Kukipata…

By | September 25, 2018
Kama unajiambia unataka kuingia kwenye biashara lakini hujui biashara gani ufanye, nina ushauri mmoja mzuri sana kwako. Uza kitu ambacho unapata shida ya kukipata. Najua kwenye maisha yako kuna vitu unatafuta, ambavyo umekuwa hupati au hata ukipata siyo kwa namna ambavyo ulitaka kupata. Habari njema ni kwamba, siyo wewe mwenyewe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz