UKURASA WA 1364; Hofu Haitaondoa Tatizo La Kesho…

By | September 25, 2018
Karibu kila falsafa na imani ya kidini inaeleza umuhimu wa kuishi wakati uliopo, umuhimu wa mtu kuishi sasa, kuwa pale alipo, kwa wakati aliopo. Lakini sisi binadamu tuna uwezo mkubwa sana wa kuyaharibu maisha yetu bila ya kufanya chochote, bali kujitengenezea hofu ya vitu visivyokuwepo na ambavyo hatuwezi kuviathiri kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz