BIASHARA LEO; Jukumu Kuu La Masoko Ni Kuwafanya Watu Wazungumzie Biashara Yako…

By | September 30, 2018
Watu wanaotafuta ‘kiki’ ili wawe kwenye maneno ya watu, wanatumia njia sahihi ya masoko, lakini kwa namna ambayo ni mbaya. Jukumu kuu la masoko ni kuwafanya watu wazungumzie biashara yako au huduma unayotoa. Pale watu wanapokuzungumzia, ndiyo wengi zaidi wanakujua na wao wanatamani kuja kupata huduma ambayo wengine wamepata na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz