1370: Usiingie Kwenye Mchezo Huu Ambao Tayari Umeshashindwa Kabla Hata Hujaanza.

By | October 1, 2018
Rafiki, Kama wote tunakubaliana kwamba maisha ni mchezo, basi kuna kitu muhimu sana tunachopaswa kujikumbusha kila mara kwenye huu mchezo. Kitu hicho ni jinsi ya kushinda kwenye huu mchezo, kwa sababu bila ya kujua njia sahihi za kushinda, utakuwa umeshindwa kabla hata hujaanza. Kwa mfano kama utaishi maisha yako kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz