1372; Kimbilia Changamoto Zaidi.

By | October 3, 2018
Tunaishi kwenye dunia ambayo kila mtu anakazana kukimbia changamoto, kila mtu anakimbilia njia isiyo na changamoto kubwa. Kila mtu anaangalia njia rahisi ya kupata kile ambacho anataka kupata. Na hili limezalisha kizazi ambacho kimekuwa laini laini, watu ambao hawawezi kukabiliana na changamoto kubwa, wanaosumbuliwa na msongo wa mawazo na walio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz