MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1386; Maisha yako yanapotelea wapi?
Ukiwa mbali na msitu, unachokiona ni msitu, unaona miti ambayo imefunga kila eneo na hutaweza kuiona ardhi kwa wazi wazi. Lakini unapoigia ndani ya msitu, huwezi tena kuuona msitu, badala yake unaona mti mmoja mmoja, unaona ardhi na vitu vingine vidogo vidogo ambavyo kwa mbali havionekani. Hivi ndivyo maisha yetu