1391; Kadiri Unavyoshikamana Na Vitu Vingi, Ndivyo Unavyokosa Uhuru Wako…

By | October 22, 2018
Kila mmoja wetu anapenda kuwa na maisha yenye uhuru, kuweza kufanya kile anachotaka kwa wakati anaotaka. Lakini wengi pamoja na kuweza kupata uhuru wao kutoka kwa wengine, yaani kutowajibika chini ya wengine, bado wanakosa uhuru wao kutoka kwa wao wenyewe. Watu hawa wanakuwa watumwa wa nafsi zao wenyewe, na kujikuta

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz