MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1396; Thamani Yako Kwenye Soko La Kile Unachofanya…
Kanuni kuu ya uchumi, ambayo imetokana na kanuni za asili inasimamia kwenye upatikanaji na uhitaji. Pale uhitaji unapokuwa mkubwa kuliko upatikanaji, thamani ya kitu inakuwa kubwa zaidi. Lakini upatikanaji unapokuwa mkubwa kuliko uhitaji, thamani ya kitu inashuka. Dhahabu, shaba na chuma, yote ni madini, lakini yana thamani tofauti kutokana na
