MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1397; Kazi Kubwa Ya Mjasiriamali Ni Hii…
Zama hizi, kila mtu anajiita mjasiriamali. Hakuna ubaya kwa watu kujiita wajasiriamali, lakini wanapaswa kujua maana ya ujasiriamali kabla ya kutumia neno hilo. Ili hata kama bado hawajafikia kwenye ujasiriamali wenyewe, wajue ni wapi na wakazane kufika hapo. Mjasiriamali ni mtu ambaye anatengeneza biashara na biashara ni mfumo ambao unajiendesha
