1397; Kazi Kubwa Ya Mjasiriamali Ni Hii…

By | October 28, 2018
Zama hizi, kila mtu anajiita mjasiriamali. Hakuna ubaya kwa watu kujiita wajasiriamali, lakini wanapaswa kujua maana ya ujasiriamali kabla ya kutumia neno hilo. Ili hata kama bado hawajafikia kwenye ujasiriamali wenyewe, wajue ni wapi na wakazane kufika hapo. Mjasiriamali ni mtu ambaye anatengeneza biashara na biashara ni mfumo ambao unajiendesha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz