MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1398; Tofauti Ya Waliofanikiwa Na Wasiofanikiwa Kwenye Muda Na Kazi…
Watu waliofanikiwa sana, mara zote huwa wana kitu cha kufanya. Huwezi kuwakuta wamekaa na kujiuliza sasa nifanye nini. Au wakajiambia wanapoteza muda kidogo kwa kufanya mambo yasiyo muhimu huku wakifikiria wafanye nini. Siku ya wale waliofanikiwa huwa imejaa, tangu kuamka mpaka wanaporudi kulala. Lakini siku ya wale ambao hawajafanikiwa, ipo