1403; Epuka Uvivu Huu Wa Kisasa Unaokukwamisha…

By | November 3, 2018
Tunapozungumzia uvivu, wengi tumezoea ule uvivu wa nguvu, kutokutaka kutumia nguvu na hivyo kuepuka kutekeleza majukumu fulani. Uvivu huu huoneshwa kwa tabia ya kuahirisha mambo, kutafuta njia ya mkato na hata kukimbia majukumu ambayo mtu anapaswa kuyabeba. Sasa kuna uvivu mwingine wa kisasa, uvivu ambao wengi hawajui kama ni uvivu,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz