1404; Tatizo La Watu Wanaojichukia Wenyewe…

By | November 4, 2018
Ni kwamba wanahamishia chuki yao kwa wengine pia. Watu wanaojichukia wenyewe, huwa wanatafuta kitu cha kuchukia kwa wengine pia, hata kama ni kitu ambacho hakina tatizo lolote. Mtu anayejichukia mwenyewe, hawezi kufanya kazi zake vizuri na hivyo hawezi kufanikiwa. Sasa anapoona wengine wamefanikiwa, anawachukia kwa sababu wao wamepiga hatua kuliko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz