1413; Sifa Mbili Ya Kitu Unachopaswa Kufanya Ili Kufanikiwa…

By | November 13, 2018
Ukweli kuhusu mafanikio, na ambao nimekuwa natumia muda mwingi kukueleza ni kwamba unaweza kufanikiwa kwenye kitu chochote ambacho umechagua kufanya. Haijalishi ni kitu gani, kama utakifanya kwa misingi ya mafanikio basi utafanikiwa. Japokuwa kila kitu kinaweza kukupatia mafanikio, bado hutaweza kufanikiwa kama utafanya kila kitu kama ambavyo kila mtu anafanya.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz