MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1414; Data, Taarifa, Maarifa Na Hekima.
Hivi ni vitu ambavyo wengi hufikiri ni kitu kimoja hasa kwenye matumizi. Lakini siyo sahihi, ni kweli vinahusiana kwa karibu lakini siyo kitu kimoja. Data siyo taarifa, taarifa siyo maarifa na maarifa siyo hekima. Wengi hufikiri kwamba ukishajua kitu basi tayari umekuwa na hekima, lakini huo siyo ukweli. Tunaweza kuangalia