MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1415; Njia Kuu Mbili Za Kutengeneza Faida Kwenye Biashara…
Dhumuni kuu la biashara ni kutengeneza wateja, na lengo la biashara baada ya kuwa na wateja ni kutengeneza faida. Kama biashara haitengenezi faida, haiwezi kudumu kwa muda mrefu, itaishia kuanguka na kufa. Wafanyabiashara wengi wamekuwa hawapo makini na namba zao za kibiashara, hasa upande wa faida. Huwa wanafurahi kuona fedha
