MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1417; Kama Usingekuwa Unajua, Ungefanyaje?
Mara nyingihuwa tunajifunza jinsi ya kufanya vitu, kisha tunafanya hivyo kwa maisha yetuyote. Tunafika hatua ya kuwa tunafanya kwa mazoea na hakuna tena ubunifu. Kadiritunavyozidi kurudia kufanya kile kile kila siku ndivyo hamasa pia inavyoshukana kushindwa kupiga hatua. Ili tuendelee kuwa na hamasa ya kufanya zaidi, ili tuweze kuwa wabunifu