1419; Njia Sahihi Ya Kupima Wazo Lako La Biashara Kama Linakufaa…

By | November 19, 2018
Siku za nyuma watu walikuwa wanachukulia wazo la biashara kama kitu muhimu sana kwenye mafanikio ya biashara. Watu walifanya mawazo yao ya biashara kuwa siri kali sana ambayo haikupaswa kujulikana na yeyote. Lakini kwenye zama hizi za taarifa, wazo la biashara limekosa kabisa thamani. Mawazo ya biashara ni mengi sana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz