MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1420; Usikimbilie Kujitetea…
Watu wanapoleta malalamiko kwetu, au kutokuridhika na namna ambavyo tumewatendea, hatua ya kwanza huwa tunakimbilia kujitetea. Na katika kujitetea huko, huwa hatukosi kitu cha kuelezea au kulaumu kama sababu ya malalamiko yaliyoletwa kwetu. Lakini kukimbilia kujitetea hakuna manufaa kwa yeyote, hakumsaidii yule anayelalamika na wala hakukusaidii wewe unayelalamikiwa. Kukimbilia kujitetea