MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1422; Ni Matatizo Yao, Siyo Yako…
Moja ya kosa kubwa sana ambalo wafanyabiashara wengi wamekuwa wanafanya na linawagharimu, ni kufikiria zaidi matatizo yao binafsi kuliko wanavyofikiria matatizo ya wateja. Wengi hujisahau na kufikiri kwamba mteja amekuja kununua kwa sababu wao wanauza, kitu ambacho siyo sahihi. Mteja haji kununua kwako kwa sababu wewe unauza, au kwa sababu