MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1427; Kinachofanya Muda Uzidi Kuwa Adimu Zaidi…
Kila siku muda unazidi kuwa mgumu na adimu kupatikana kwa sababu masaa ya siku ni yale yale 24 na siku za juma ni zile zile 7, lakini kila siku vitu vya kufanya vinaongezeka. Sasa vya kufanya vinapoongezeka, wakati muda ni ule ule, kinachotokea ni muda unakuwa wa uhaba na watu
