MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1429; Fanya Vizuri Au Usifanye Kabisa…
Rafiki, moja ya rasilimali muhimu ambazo ni adimu sana kwetu ni muda. Muda ukishapita haurudi tena, ukipoteza fedha unaweza kuipata, lakini ukipoteza muda ndiyo umeupoteza moja kwa moja, haurudi tena. Hivyo tunapaswa kuwa waangalifu sana kwa namba tunavyotumia muda tulionao, kwa sababu tukishaweka muda kwenye kitu chochote kile, hatuwezi kuurudisha
