1429; Fanya Vizuri Au Usifanye Kabisa…

By | November 29, 2018
Rafiki, moja ya rasilimali muhimu ambazo ni adimu sana kwetu ni muda. Muda ukishapita haurudi tena, ukipoteza fedha unaweza kuipata, lakini ukipoteza muda ndiyo umeupoteza moja kwa moja, haurudi tena. Hivyo tunapaswa kuwa waangalifu sana kwa namba tunavyotumia muda tulionao, kwa sababu tukishaweka muda kwenye kitu chochote kile, hatuwezi kuurudisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz